Watumishi wa Afya wametakiwa kuwa mabalozi wazuri wanapotoa huduma za afya .

WATUMISHI wa Afya wa kada mbalimbali wametakiwa kuwa mabalozi wazuri katika utoaji huduma za afya kwakufuata misingi ya haki za binadamu na utawala bora katika utoaji wa huduma za afya ili kuweza kuondoa kero na malalamiko miongoni mwa jamii katika sekta ya afya. Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dodoma na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma